LIMBA BOY

LIMBA BOY Comedian, Musician and Freedoom fighter from eastern of DRC 🇨🇩

Huko  ,  , raisi wa heshima na seneta wa maisha, alizungumza na vijana, wanafunzi, wanaharakati wa raia, na washiriki wa...
25/06/2025

Huko , , raisi wa heshima na seneta wa maisha, alizungumza na vijana, wanafunzi, wanaharakati wa raia, na washiriki wa makanisa ya uamsho ( église de réveil). Alizungumziya dhamira yake ya kuleta amani nchini CONGO , akitumia mapendekezo 12 aliyo yaeleza katika hotuba yake ya mwisho.
alitoa wito wa kufanyika kwa mazungumzo ya kitaifa kwa kuleta amani, kuunga mkono mfumo wa na , na kukaribisha kila Mkongomani kuchangia kwajili ya kuleta amani. Alisisitiza kuwa utulivu ni muhimu kwa maendeleo ya nchi, akionya kwamba bila amani, inaweza kutoweka.

🇨🇩

Message mbili za mtoto wa Raisi wa Uganda Yoweri Museveni ajulikanaye k**a   ambazo zime wahacha watu wengi kunwa wazi n...
23/06/2025

Message mbili za mtoto wa Raisi wa Uganda Yoweri Museveni ajulikanaye k**a ambazo zime wahacha watu wengi kunwa wazi ni kwamba,
Jana tariki 22 / 06/ 2025, Jeshi la Ouganda limefanya kikao huko Kinshasa Na Raisi wa DRC Félix Antoine tshisekedi.

Baada ya icho kikao iyi ndo message aliyo chapisha kwenye ukurasa Wake wa X 👇👇

" Nataka kumshukuru H.E. Felix Tshisekedi na mwenzangu katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya kongo, Lt.Jenerali Jules Banza Mwilambwe kwa jinsi ujumbe wetu ulivyopokelewa Kinshasa. Nawapongeza wananchi wa Uganda na DRC kwa kuongeza muda wa Mkataba wa Operesheni Shujaa (Operesheni Shujaa) kati ya UPDF na FARDC katika kupambana na magaidi wa ADF huko Kivu Kaskazini na Ituri. "

Baada ya hapo , Leo tariki 23 ameposti picha ya kagame Na kushindikiza Na message iyi

" Bado wewe ni shujaa wangu , upendo uwepo "

Ivi unazani kikao icho kime usika kwa lengo gani zaidi Na kuwepo kwa Jeshi la Uganda (UPDF) kuna umuhimu gani kAtika inchi ya CONGO 🇨🇩 ?

20/06/2025

VIDEO] : Ma afisa hawa wa polisi wa traffic wenye ujasiri wanageuza Na kueudisha jeep na pikipiki za wakuu viongozi wa serekali ambazo zinaenda inje ya sheria ya barabara ijulikanayo k**a Boulevard du 30 JUIN pa Kinshasa.
sio haki kuwataka tymu watu wa kawaida kutii sheria za trafiki, huku mamlaka Na Jeshi zikifanya kinyume katika barabara mbalimbali za Kinshasa. TAZAMA ⤵️⏸️

😀Urisha Rerax njo ki kwetu, nanyie relax atari kabisa
20/06/2025

😀Urisha Rerax njo ki kwetu, nanyie relax atari kabisa

16/06/2025

Wewe k**a mwanamke unaweza kumpa nini mwanaume ili asikuache Na kuenda kwa mtu mwingine?

Huyu ndiye yule M23-AFC aliyeamuru kumpiga risasi raia pa Funu / Bukavu baada ya kikao cha Meya wa Kadutu. Jina lake ni ...
12/06/2025

Huyu ndiye yule M23-AFC aliyeamuru kumpiga risasi raia pa Funu / Bukavu baada ya kikao cha Meya wa Kadutu.
Jina lake ni Josué King SAFARI.
Ni mtoto wa Mchungaji SAFARI Mukombe. Yeye ni mwanafunzi wa zamani wa Chuo Kikuu cha HOPE AFRICA UNIVERSITY mnamo mwaka 2011, alisomea Teknolojia ya Habari ya Biashara.
Mission Yake ni kupunguza vijana kwenye mji wa Bukavu na Jimbo la SOUTH KIVU 🇨🇩

Kumtazama shemeji yetu, mume wa Dada wa Sud Kivu Denise Nyakeru ni jaribio la kunyanganya ikulu ya rais kutoka kwetu.😂😂😂
12/06/2025

Kumtazama shemeji yetu, mume wa Dada wa Sud Kivu Denise Nyakeru ni jaribio la kunyanganya ikulu ya rais kutoka kwetu.😂😂😂

11/06/2025

VIDEO: Kitendo Cha mauaji ya Hazarani huko Bukavu. Katika video hii iliyorekodiwa na Mkongomani shupavu anayetaka kukemea kinachoendelea katika maeneo yanayo k**atwa na waasi AFC, ARC / M23
tunaona wazi raia mmoja mikono hewani, huku akiomba msamaha kwa askari wa M23 amsamehe, lakini akaishia kumpiga risasi. TAZAMA ⤵️

Usi sahau Ku subscribe 😭

Actuellement, une bouteille de Primus se discute entre 20.000fc et 25.000fc dans la ville de kamituga au sud kivuLa guer...
10/06/2025

Actuellement, une bouteille de Primus se discute entre 20.000fc et 25.000fc dans la ville de kamituga au sud kivu

La guerre à bukavu affect plusieurs villes notamment la ville de kamituga, la ville d'uvira, la ville de baraka et la ville de kalemie .

  : bahada ya kifo Cha général Sikatende Leo tariki 4 june 2025, afya ya général Dieudonné Mutupeke imebadilika gafla mu...
04/06/2025

: bahada ya kifo Cha général Sikatende Leo tariki 4 june 2025, afya ya général Dieudonné Mutupeke imebadilika gafla mu prison ya Ndolo pa .
Kufatana na ndugu yake wa familiya anasema kuwa atakuwa amepewa simu bila kusahau kwenye iyo jela ndipo alipofiya Général Sikatenda 😭😭

NB: tusifichane anaye sababisha ivi vifo ni Fatshi les swahiliphone en danger !!!

Pour vous qui êtes à Bukavu , Goma , uvira et Baraka 👇Quand tu vois un Lion n'importe où, tout d'abord n'aie pas peur, N...
03/06/2025

Pour vous qui êtes à Bukavu , Goma , uvira et Baraka 👇

Quand tu vois un Lion n'importe où, tout d'abord n'aie pas peur,
Ne cours pas parce que quand le Lion te voit lui aussi a peur.
Quand il rugit, assures-toi de rugir aussi en retour.
Ne recule pas et ne panique pas.
Le lion surveille les mouvements de ton corps, s’il avance vers toi, vise la jambe gauche.
Asures-toi de c@sser sa jambe gauche, c'est là que se trouve le pouvoir et la force du Lion.

Address

Kisangani
Bujumbura

Telephone

+243997681261

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when LIMBA BOY posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to LIMBA BOY:

Share