13/07/2026
π€π₯ KELECHI AFRICANA AMSHUKIA DOGO RICHY KWA MANENO MAKALI
Msanii Kelechi Africana ameibua mjadala mtandaoni baada ya kumrushia dongo Dogo Richy, akibeza muonekano wake na kudai kuwa kile ambacho wengi hudhani ni kitambi ni kitu kingine kabisa. Kauli hiyo imezua gumzo kubwa miongoni mwa mashabiki wa muziki wa Pwani.
ππ Je, Kelechi alikuwa anatania tu au amevuka mipaka? Tupe maoni yako kwenye comments.