Kianyaga TOWN"

Kianyaga TOWN" IT A GOOD PLACE FOR ALL>>>

28/07/2023

Every curse working against you and your family, be broken in Jesus name🙏🙏🙏🙏

28/07/2023
27/07/2023

Bila connection hii kenya huwezi pata ata accident

27/07/2023

Bila connection hii kenya huwezi pata ata accident🚔🚔🚔🚔😛😋

25/07/2023

Kuishi keja😴😴moja na watu wenu ni tricky sana.My first time kukuja Nairobi i remember nilikuwa msoto😢😢and i was living with my brother kwa single room ya mabati😴😴.Kila siku tulikuwa😤😤tunaenda ku hustle ndio tupate doo za food😢😢.Supper tunapika Sembe kubwa na sukuma wiki🤐🤐. Tunakula Sembe nusu tunabakisha half ndio turaukie asubuhi na Chai😱😱. Si mnaelewa😯!

Sasa shida iko hapa. I remember one day nikiingia kwa bed lakini usingizi😜😜ikakataa ku come kabisaaa juu nilikuwa naogopa bro wangu anaeza changamkia hiyo Ugali na asingizie Panya😉😉.
On the other hand🙁kumbe bro wangu👍alikuwa na the same same fears👀infact zake ni double juu anajua😎mimi ni Sembeholic✊✊mbaya sana naeza ichafua hiyo🤔🤔ugali hata na Chumvi ama Avocado akiwa amedoz😃.

One day nilitoka kwa bed🙁🙁kisniper kucheki hiyo mlima ya Ugali k**a iko ama imewekwa level na bro wangu😈😈.
Nikaenda hadi penye Sembe iko😊😊, saa hiyo giza iko kibao but🤗🤗huwezi guza hata Meza juu mind yako iko focused kwa Sembe🙄🙄. Unaruka mtungi ya Gas na ndoo ya vyombo chafu successfully😋😋.

Ile time nilienda kuinua Sufuria yenye🤓🤓 tumefunika nayo ugali nikagusa🤔🤔mkono ya bro wangu mwenye nilidhani amedoz😁😁.
Kumbe jamaa alishatangulia before me. Mshtuko ikanipiga hadi nikasikia ku collapse nikifikiria ni Ghost😬😬.But vile mimi ni mjanja nikamshow😎😎"yaani kumbe ile panya nilikuwa nasikia ni wewe".
Pia yeye kujibu habahatishangi akanijibu😜😜"hata mimi nimeshtuka kujua hiyo panya ni wewe✌".

Hapo ilibidi tugawane kila mtu share yake😋, tukakula ndio at least tulale na Amani😂😂😂.

15/07/2023

Remember those days back
Part 1
Mathee anakutuma kwa duka ya Jolo ukannue UGA ya Chapo,on your way hapo kidogo kidogo unapatana na mamurio wako,ka game kana anza u forget kwenda kwa jolo game sasa iko top,,oiiie chaii pesa nayeye ninani huyo amepotea,, kidogo kidogo u just remember jolo chapo sasa hapo ni teke teke hata chui ni ujinga tu.kutafu pesa hakuna.............🤫🤫🥺

15/07/2023

Nitaamini maisha Iko juu wakiongeza
Siku za mwizi from 40 to 50😠

🤫🤫🤫😴😴🛌🛌🛌🛌🛌 it's time
14/07/2023

🤫🤫🤫😴😴🛌🛌🛌🛌🛌 it's time

Get anything that you wantKeep it real it's quick and keeps you updated
10/06/2023

Get anything that you want
Keep it real it's quick and keeps you updated

Get anything that you want
10/06/2023

Get anything that you want

Good to go
10/06/2023

Good to go

Address

Kianyaga

Opening Hours

Monday 09:00 - 17:00
Tuesday 09:00 - 17:00
Wednesday 09:00 - 17:00
Thursday 09:00 - 17:00
Friday 09:00 - 17:00
Saturday 09:00 - 17:00

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Kianyaga TOWN" posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share