14/12/2022
SAFARI YA SIKU MBILI KUTOKA DAR KWENDA ZANZIBAR📍
DAY 1 📍
Kupanda Boat ya saa moja asubuh ambayo itachukua
lisaa limoja Nanusu mpaka Zanzibar,Mkifika Zanzibar mnapokelewa na kuanza ziara ya Prison Island (kisiwa cha makobe )Alafu kwenye fungu la
mchanga lililopo katikati ya bahari la nakupenda kwaajili ya chakula cha mchana ,mnaweza kuogelea
na kupumzika kwa aina yoyote utakayopenda Alafu mnarudi mji mkongwe kwa akili ya City tour , kutembea ndani ya mji mkongwe baada ya hapo mtaenda forodhani Night Market kujipatia chakula
cha usiku alafu mnachukuliwa kupelekwa hotelini.
DAY 2📍
8:00am Baada ya chai, mtachukuliwa kwenda kuogelea na Makasa baada ya hapo alafu kwenye shamba la spice kujionea aina za spice zilizopo Zanzibar a aina ya upandwaji na ukuaji wake ,mnaweza kupata bahati yakuchukua baadhi kwaajili ya matumizi ya nyumbani, Baada ya hapo mnapelekwa Bandarini kurudi Dar es Salaam kwa boat ya saa kumi
Bei Tsh 350,000 kwa mtu mmoja=
BEI INAJUMUISHA
✅Tiketi za boat kwenda nakurudi
✅Viingilio vyote
✅Guide
✅Hotel (malazi)
✅chakula cha asubuhi na mchana
📳Normal call +255714521422
📲WhatsApp +255714521422