mbeya 9 Safari's

mbeya 9 Safari's Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from mbeya 9 Safari's, Travel Company, Mbeya.

18/08/2026

Kufuatia Agizo la Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila, Sasa Makampuni ya Mabasi yametii na kuhamia Mbezi, Shekilango hakuna Kazi tena

Ila kutokana na uboreshaji wa Huduma zetu kwa wateja sasa unaweza kukata Tiketi yako Kidigitali ukiwa Nyumbani kwako na kwenda Mbezi moja kwa moja kupanda Basi kwaajili ya Safari yako.

Tembelea kwenye Tovuti yetu πŸ‘‡(Au kwa Kubonyeza Link iliyopo BIO/Profile)

https://mbeya9safari.vercel.app/safari


18/08/2026

Kwa safari za MBEYA to DAR Tumekusogezea Chaguo hili, Ambae Ana Miezi kadhaa kwenye Game na unaweza Safiri na NYASA LUXURY kwa kukata tiketi Kupitia Tovuti yetu ya Mbeya9safari, chakufanya bonyenza link hii πŸ‘‡ na ukate ticket yako

https://mbeya9safari.vercel.app/safari

(Pia link iyo ipo profile/BIO) πŸ‘†

Au kwa Msaada Zaidi wasiliana nasi kwa namba 0786680260/0766533839


17/08/2026

Ni siku chache tangu tumeboresha utoaji Huduma wetu kwa kukurahisishia wewe Mteja kukata tiketi popote ulipo kiganjani mwako Kupitia Tovuti yetu πŸ‘‡

https://mbeya9safari.vercel.app/safari
(Ipo kwenye Profile/BIO)

Na Matamanio yetu Usafiri ki fahari kwa kupanda Mabasi ya Ki VIP k**a ilo, Nini maoni yako Barabara Tunayo au Tuwe serious? πŸ˜‚

17/08/2026

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila, alitoa agizo kuwa mabasi yote ya mikoani yanayofanya safari zake bila vibali maalum lazima yaanzie na kuishia katika Stendi Kuu ya Mabasi ya Magufuli, Mbezi.

Agizo hili limewafanya ALSAIDY Leo walete Basi zao kadhaa pale Mbezi Magufuli Ila Nafasi inaonekana hivyo vipi wakileta zote πŸ˜‚ na Makampuni mengine yakaleta Patatosha?? 🀣

Kata Tiketi yako sasa Kidigitali kwenda Mkoa wowote ndani ya Tanzania kwa kutembelea Tovuti yetu πŸ‘‡

https://mbeya9safari.vercel.app/safari

(Au kwa Kubonyeza Link iliyopo BIO/Profile)


Habari zenu Family ya MBEYA 9 SAFARI! β€οΈπŸ–€Kwa maslahi mapana ya MBEYA 9 SAFARI, mimi k**a Mwanzilishi (Founder) wa MBEYA ...
16/08/2026

Habari zenu Family ya MBEYA 9 SAFARI! β€οΈπŸ–€

Kwa maslahi mapana ya MBEYA 9 SAFARI, mimi k**a Mwanzilishi (Founder) wa MBEYA 9 SAFARI, nichukue nafasi hii kumtangaza rasmi CEO mpya wa kampuni ya MBEYA 9 SAFARI, EVANCE MWANGUNGA.

Kuanzia sasa, tunatarajia kumpa ushirikiano, heshima na support katika kutekeleza majukumu yake na kuiongoza kampuni kuelekea kwenye hatua kubwa zaidi.
🀝 Family ya MBEYA 9 SAFARI, tuungane pamoja na kumpa CEO wetu mpya ushirikiano wa kutosha.

Tunaamini kwa pamoja tunaweza kujenga MBEYA 9 SAFARI yenye nguvu zaidi.
Hongera sana CEO EVANCE MWANGUNGA! πŸŽ‰πŸ”₯
MBEYA 9 SAFARI β€” HAINA HAJA YA KUHANGAika.

Asanteni sana. β€οΈπŸ–€

Wewe Mteja wetu wa Mbeya9safari sasa tumeboresha Huduma zetu na kukurahisishia unaweza kujihudumia Mwenyewe Kupitia webs...
16/08/2026

Wewe Mteja wetu wa Mbeya9safari sasa tumeboresha Huduma zetu na kukurahisishia unaweza kujihudumia Mwenyewe Kupitia website yetu

Kwa kubonyeza kiungo hiki πŸ‘‡

https://mbeya9safari.vercel.app/safari

Uweze kupanga Safari yako kwa kuchagua Gari sahihi kutokana na Route unayoenda na pia kukata tiketi yako 🫴

Vilevile Unaweza kutuma Mzigo wako.

SAFIRI KIDIGITALI SASA πŸ™Œ

Why US?
10/08/2026

Why US?

Address

Mbeya

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when mbeya 9 Safari's posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Shortcuts

Share

Category