04/06/2017
JE UNA MGONJWA WA SICKLE CELL?
Hivi karibuni, tumeshuhudia maajabu kwa wagonjwa wa sicke cell, hasa watoto wadogo.
Nataka nikushirikishe kidogo.
Moja ya matatizo yanayoathiri sana jamii kubwa ya watanzania hususani watoto ni ugonjwa wa sickle cell. Ugonjwa huu wa kinasaba huathiri hemoglobin, sehemu iliyo muhimu sana katika muundo na ufanisi wa chembe nyekundu za damu.
Dalili za ugonjwa wa sickle cell hutegemea sana na kiwango cha uathirikaji wa chembe nyekundu za damu.
Kiujumla dalili zinaweza kuwa ni zile zinazohusiana na upungufu wa chembe nyekundu za damu mwilini yaani anemia, unaotokana na kuharibika kwa chembe hizo. Hizi ni pamoja na
🎈Kushindwa kupumua vizuri
🎈Kizunguzungu
🎈Maumivu ya kichwa
🎈 Ubaridi katika viganja na miguuni
🎈Unjano katika macho na ngozi au jaundice
🎈Weupe katika viganja, na eneo la macho liitwalo conjuctiva, ulimi na midomo
🎈Maumivu ya tumbo
Homa
🎈Maumivu ya viungo (joint pains)
🎈Maumivu ya kifua
🎈Damu katika mkojo (hematuria)
Wakati fulani, wagonjwa wa sickle cell hupatwa na hali ya maumivu makali katika sehemu kadhaa za mwili. Hali hii huendana pia na upungufu mkubwa wa damu.
Sickle cell crisis hutokea katika mishipa midogo ya damu, wengu, viungo vya mwili na hata kwenye mapafu.
Tunacho kirutubisho ambacho ni msaada wa pekee kwa mgojwa wa sicle cell, na tumeshuhudia maajabu yake.
Ongea nasi kwa 0763449749