Mbamba-Bay Connection and Tours Services

Mbamba-Bay Connection and Tours Services We are a tour agency operating in Tanzania,East Africa. Welcome all.

Merry Christmas and happy new year to all
25/12/2023

Merry Christmas and happy new year to all

nice place
11/07/2023

nice place

Browse All Listings for Free!

Special offer for Easter Holidays at ZANZIBAR Price $680 per CoupleBeach Accommodation + Breakfast3Nights 4daysIncluding...
21/03/2023

Special offer for Easter Holidays at ZANZIBAR
Price $680 per Couple
Beach Accommodation + Breakfast
3Nights 4days
Including 3 Excursions
WhatsApp +255773096679

Kazi iendelee
10/01/2023

Kazi iendelee

RUVUMA IMEFUNGUKA

25/12/2022
Hongera sana
21/12/2022

Hongera sana

29 WAHITIMU MAFUNZO YA WAONGOZA WATALII NAMTUMBO
Na Julius Konala,Namtumbo
WAZAZI na walezi katika wilaya ya Namtumbo mkoani Ruvuma wametakiwa kuchangamkia fursa ya uwepo wa chuo cha mafunzo ya maliasili kwa Jamii(CBCTC)Likuyu Sekamaganga wilayani humo kwa ajili ya kuwasomesha vijana wao ili waweze kupata ajira ya kuongoza wageni na watalii baada ya kuhitimu masomo yao.

Rai hiyo ilitolewa hivi karibuni na mwakilishi wa katibu mkuu wa wizara ya maliasili na utalii Dkt.Julius Ningu ambaye pia ni mkuu wa wilaya ya Namtumbo wakati alipokuwa akizungumza kwenye mahafali ya pili ya Astashahada ya waongoza watalii 29 chuoni hapo.

Ningu alisema kuwa kutokana na jitihada za Rais Samia Suluhu Hassan kuifungua Tanzania katika masuala ya utalii,wazazi wanapaswa kukitumia chuo hicho kwa ajili ya kusomesha vijana wao ili hapo baadae waweze kujiajiri na kupunguza wimbi la kuzagaa ovyo mitaani bila kazi.

Akizungumza katika mahafali hayo,Ningu amewataka wahitimu hao kujenga utamaduni wa kuwa na tabia ukarimu,uadilifu na uaminifu pindi watakapokuwa wanawaongoza wageni na watalii wanakuja mkoani Ruvuma na Nchini kwa ujumla kwa lengo la kutembelea vivutio mbalimbali.

Aidha amewahasa wahitimu hao kuwa na moyo wa uzalendo katika kutunza maliasili za taifa ambazo zimekuwa zikitoweka na kuharibiwa ovyo na majangili pamoja na watu wanaoendesha shughuli za kibinadamu kwenye hifadhi za wanyama pori.

Naye mwakilishi wa mkurugenzi wa Idara ya wanyamapori Nassoro Wawa ambaye pia ni Afisa wanyamapori mkuu alisema kuwa kuongezeka kwa idadi ya watu kumechangia kwa kiasi kikubwa kufanya shughuli za kibinadamu zikiwemo kujenga,kufanya kilimo na ufugaji kwenye hifadhi za wanyamapori ambapo amewataka wanaoendesha vitendo hivyo kuacha mara moja.

Francisca Malembeka akiongea kwa niaba ya mkurugenzi wa kitengo cha utafiti na mafunzo alisema kuwa mwingiliano wa shughuli za kibinadamu kwenye mapito ya wanyamapori kumechangia uharibifu na kuleta migogoro hivyo amewataka kucha kufanya shughuli hizo na kwamba amewataka wahitimu hao kusaidia kulinda maliasili hizo pamoja na kujisomea vitabu mbalimbali kwa lengo la kuongeza ujuzi na kukaa na wazee kwa ajili ya kujua historia ya mababu wa zamani.

17/11/2022
09/11/2022

Meli ya abiria ya MV Mbeya II ikiwa imetia nanga katika bandari ya Mbambabay ziwa Nyasa mkoani Ruvuma.

Address

Songea

Telephone

+255719947006

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Mbamba-Bay Connection and Tours Services posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Mbamba-Bay Connection and Tours Services:

Shortcuts

Share

Category