Amboni caves guides

Amboni caves guides we deal with tourism activities

25/03/2021
Dream it, visit guys lets go magoroto and see the beaut of our country
09/03/2021

Dream it, visit guys lets go magoroto and see the beaut of our country

This is the best view of amboni caves   # tanzaniaunforgetable #
24/10/2020

This is the best view of amboni caves # tanzaniaunforgetable #

Some famous music artists in amboni caves  # photo by Serio Hamis   #
24/08/2020

Some famous music artists in amboni caves # photo by Serio Hamis #

Nature is always beautful @ amboni caves
14/08/2020

Nature is always beautful @ amboni caves

This is  #  # #
05/02/2020

This is # # #

TAARIFA FUPI:Amboni caves kwasasa inasimamiwa na mamlaka ya hifadhi ya ngorongoro kutokana na mabadiliko ya idara kutoka...
27/12/2019

TAARIFA FUPI:
Amboni caves kwasasa inasimamiwa na mamlaka ya hifadhi ya ngorongoro kutokana na mabadiliko ya idara kutoka mikononi mwa idara ya Mambo ya kale( antiquities Division) kuja kwa NCAA( Ngorongoro Conservation Area Authority) nia na madhumuni ni kufanya maboresho ya kituo lakini pia kuutangaza utalii wa mapango kidunia zaidi na tamko la mabadiliko limetoka kwa MH. Dk. Hamisi kigwangala hivyo Team nzima ya amboni caves inayofuraha kuwakaribisha nyoote kuja kutembelea mapango ya amboni kwa ajili ya kukuza utalii wetu wa ndani na kufahamika kidunia zaidi # amboni caves is unforgertable adventure #

27/12/2019

Hallo leute jetzt ist Seit für Abenteuer

Kuna maajabu mengi Duniani na mojawapo ni hili la Taa (Balbu), ambayo inashikilia rekodi ya kuwaka kwa muda mrefu zaidi....
07/09/2019

Kuna maajabu mengi Duniani na mojawapo ni hili la Taa (Balbu), ambayo inashikilia rekodi ya kuwaka kwa muda mrefu zaidi.

Unaambiwa Balbu hiyo inawaka kuanzia mwaka 1901 na inapatikana huko Livermore, California Marekani na kitengo cha Zimamoto kutoka Livermore, ndiyo wamepewa mamlaka ya kuitunza na kuihudumia.

Kwa mwanzo Balbu hiyo inasemekana ilikuwa ikitoa nguvu ya mwanga yenye Watt 40 mpaka 60, lakini kwa sasa inatoa Watt 4 sababu ikitajwa ni kutokana na kukaa muda mrefu na mabadiliko ya teknolojia.

Balbu hiyo ilitengenezwa na kampuni ya Shebby Electric na inaelezwa kuwa taa nyingi zilizotengenezwa na kampuni hiyo miaka ya zamani mpaka sasa zinafanya kazi.

Zylpha Bernal Beck anasimulia kuwa Balbu hiyo ilitolewa na baba yake kwa kitengo hicho cha kupambana na moto mwaka 1901 ikiwa ni k**a msaada.

Iligunduliwa mwaka 1972 na ripota aliyefahamika kwa jina la Mike Dustan, ambaye alifanya mahojiano na watu walioishi eneo hilo kwa muda mrefu na baadaye aliamua kuwaita watu wa 'Guinness Records' ambao walithibitisha kuwa Balbu hiyo imeweka rekodi ya kuwaka kwa muda mrefu zaidi.

Kwanini inawaka kwa muda mrefu?

Baadhi ya tafiti zilionesha kuwa kuwaka kwa Balbu hiyo kwa muda mrefu kunatokana na namna 'material' yake yalivyotengenezwa ambayo kwa kiasi kikubwa hulinda 'Vacuum' kwa lugha rahisi glassi yake isipoteze unga wake ambao ndiyo huwa chanzo kwa balbu nyingi kuzidiwa na kupasuka.

Balbu hiyo hutembelewa na watu wengi na kwa sasa kuna kitengo maalum kiliundwa, kwaajili ya kuhakikisha inabaki salama muda wote.

Mimea inayokula nyama iliopo hatararini kuangamia imeanza kupandwa tena katika maeneo kadhaa ya Uingereza katika jaribio...
04/09/2019

Mimea inayokula nyama iliopo hatararini kuangamia imeanza kupandwa tena katika maeneo kadhaa ya Uingereza katika jaribio la kupunguza kuangamia kwake.

Wataalam wa mimea wanasema kwamba mimea hiyo ilio na umbo la kuvutia imetoweka katika maeneo mengi kutokana na uhaba wa maeneo yenye ardhi zenye unyevu.

Ikiwa na mikono inayoshika na kula wadudu, mmea huo ni mmojawapo ya makumi ya mimea inayokula nyama Uingereza.

Charles Darwin alifurahishwa sana na spishi ya mmea huo , na hivyobasi kukusanya picha na vipimo katika kitabu chake kwa jina Insectivorous Plants, kilichochapishwa 1876.

Anasema kwamba alipendelea sana kuhusu mmea kwa jina Drosera, unaofahamika k**a Dawy kwa lugha ya Latin ikilinganishwa na kitovu cha spishi zote duniani.

Ni spishi ilio nadra kupatikana kulingana na Joshua Styles kutoka chuo kikuu cha Cheshire, ambaye alianzisha hisani yake ya hifadhi kwa jina North West Rare Plant Initiative kwa lengo la kuhifadhi mazingira.

Nchini Uingereza mmea huo umeorodheshwa k**a ulioangamia na hupatikana chini ya maeneo 20 hivyobasi kutopatikana kwake na hali yake kulinishawishi kutaka kuupanda tena.

Joshua Styles kushoto) akibeba mbegu ya mmea wa Sundew
Je mmea huo ni upi na unapatikana wapi?
Ulikuwa ukipatikana kwa wingi nchini England , mmea huo ulianza kuangamia katika karne iliopita.

Mabadiliko ya matumizi ya ardhi yamesababisha kukauka kwake katika maeneo yanye ardhi zilizo na unyevu.

Je mmea huo unazinduliwa vipi upya?
Joshua Styles alifanikiwa kupanda mmea huo kutokana na majani yaliokatwa yaliotoka katika mimea michache iliosalia ambayo imeweza kustahimili mazingira magumu katika eneo la Cumbria.

Alizindua mimea aina 10 katika eneo la Rsley Moss karibu na Warrington, akishirikiana na wakfu wa Chesser na ule wa wanyama pori wa Lancashire.

Mmea huo unaokula nyama unafaa kustahimili katika mazingira hayo na kuanza kuzaana.

''Kila mwaka wakati unapotoa maua unatoa makumi ya maelfu ya mbegu ndogo ndogo zinazofanana na vumbi'' , alisema.

Unapopanda 1

Address

P. 0. Box 178, Amboni-mafuriko
Tanga

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Amboni caves guides posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Category